LYRICS

Marlaw – Bembeleza Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marlaw – Bembeleza
Marlaw – Bembeleza Lyrics

Tanzanian artist Marlaw released Bembeleza, a heartfelt love song that showcases his smooth vocals and emotive delivery. The track blends Afro-pop and Bongo Flava elements, with lyrics that plead for understanding and reconciliation in a relationship.

SIMILAR: Marlaw – Mbayuwayu

Bembeleza Lyrics by Marlaw

Nipesa simu nibembeleze
Hey Hey hello Ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui bembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Kila time nakuangalia usoni ma
Sio kamaa nakosa neno kusema
Ulivyo ma anafanya kosa kunena
Ingawa moyo hautaki kunena tena

Wazo kichwani lina beep (kukueleza)
Ila vibaya ukinijibu (bembeleza)
Nahisi sijui bembeleza
Utakataa halafu mi utaniumizaa

Kidesign nakuangalia usoni ma
Kuna sign za kuita huko machoni ma
Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
Unachotaka nianze mikusema

Hapa unafanya nijione (nitashinda)
Hapa unafanya nitamke (nakupenda)
Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausemacho machoni

We Dada mi unaniumiza
We dada sijamaliza
Mbona unakata simu
Please usikate ma

Hey hey hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Kati yetu imetawala rangi ya pinki (pink)
Kitu ambacho moyoni siridhikii
Nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki
Inajionyesha machoni unaafiki

Lugha ya macho kwa sasa (nakataa)
Tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)
Oooh aaah, aaah

Kwenye party ulikuja umependeza
Kwenye traini ukaniomba mi kucheza
Tukadance na macho umelegeza
Ulinibamba nikaficha kukueleza

Unanimaliza
Mimi ninakweleza
Minakupembeleza
Baby please baby girl

Vile unatamka
Wewe kuona nataka
Tuonge ana kwa ana
Baby please baby girl

We Dada mi unaniumiza
We dada sijamaliza
Mbona unakata simu
Please usikate ma

Hey hey hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Hooow (hooow)
Sasa kama (kama)
Umenielewa mbona
Unachelewa sana
Nambie nije, nije sasa hivi

Umenielewa mbona
Unachelewa sana
Nambie nije, nije sasa hivi

Marlaw – Bembeleza Mp3 Download

Chek More Related Songs;

Leave a Comment