LYRICS

Marlaw – Mbayuwayu Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marlaw – Mbayuwayu
Marlaw – Mbayuwayu Lyrics

Tanzanian artist Marlaw delivered a soulful track titled Mbayuwayu. The song showcases his smooth vocals and emotional depth, blending Afro-pop and traditional Tanzanian influences. Mbayuwayu reflects themes of love and heartache, making it a heartfelt and resonant track for his fans.

SIMILARDarassa – Dead Zone

Mbayuwayu Lyrics by Marlaw

[Intro: Marlaw & Lamar]
Nakupenda wewe
And I love you, baby
Usimsikize huyo
Exclusive
Nimekaa na mrembo
Marlaw
Nimekaa na mrembo
Tudd Thomas
Nimekaa na mrembo
FishCrab Presentation
Nimekaa…
Ah!

[Verse 1]
Nimekaa na mrembo
Nampanga vile nitamuoa
Kwani nimempenda siku nyingi
Ila nikashindwa kumwambia
Ungeniuliza bwana, kwani mimi nimeongea nini
Ungeongeza umakini, huyu mtoto asingenikimbia
Nna imani kama angenipenda
Kaniruhusu niende nijieleze
Nimtume ujumbe Mbayuwayu
Mbayuwayu, ngo, ngo, ngo
Mbayuwayu mimi nina kutuma
Ukifika usiwe kama huyu
Ubishe hodi, Mbayuwayu
Hodi, ngo, ngo, ngo, ngo, hey, yeah

[Intro: Marlaw & Lamar]
Nakupenda wewe
And I love you, baby
Usimsikize huyo
Exclusive
Nimekaa na mrembo
Marlaw
Nimekaa na mrembo
Tudd Thomas
Nimekaa na mrembo
FishCrab Presentation
Nimekaa…
Ah!

[Verse 1]
Nimekaa na mrembo
Nampanga vile nitamuoa
Kwani nimempenda siku nyingi
Ila nikashindwa kumwambia
Ungeniuliza bwana, kwani mimi nimeongea nini
Ungeongeza umakini, huyu mtoto asingenikimbia
Nna imani kama angenipenda
Kaniruhusu niende nijieleze
Nimtume ujumbe Mbayuwayu
Mbayuwayu, ngo, ngo, ngo
Mbayuwayu mimi nina kutuma
Ukifika usiwe kama huyu
Ubishe hodi, Mbayuwayu
Hodi, ngo, ngo, ngo, ngo, hey, yeah

[Intro: Marlaw & Lamar]
Nakupenda wewe
And I love you, baby
Usimsikize huyo
Exclusive
Nimekaa na mrembo
Marlaw
Nimekaa na mrembo
Tudd Thomas
Nimekaa na mrembo
FishCrab Presentation
Nimekaa…
Ah!

[Verse 1]
Nimekaa na mrembo
Nampanga vile nitamuoa
Kwani nimempenda siku nyingi
Ila nikashindwa kumwambia
Ungeniuliza bwana, kwani mimi nimeongea nini
Ungeongeza umakini, huyu mtoto asingenikimbia
Nna imani kama angenipenda
Kaniruhusu niende nijieleze
Nimtume ujumbe Mbayuwayu
Mbayuwayu, ngo, ngo, ngo
Mbayuwayu mimi nina kutuma
Ukifika usiwe kama huyu
Ubishe hodi, Mbayuwayu
Hodi, ngo, ngo, ngo, ngo, hey, yeah

[Intro: Marlaw & Lamar]
Nakupenda wewe
And I love you, baby
Usimsikize huyo
Exclusive
Nimekaa na mrembo
Marlaw
Nimekaa na mrembo
Tudd Thomas
Nimekaa na mrembo
FishCrab Presentation
Nimekaa…
Ah!

[Verse 1]
Nimekaa na mrembo
Nampanga vile nitamuoa
Kwani nimempenda siku nyingi
Ila nikashindwa kumwambia
Ungeniuliza bwana, kwani mimi nimeongea nini
Ungeongeza umakini, huyu mtoto asingenikimbia
Nna imani kama angenipenda
Kaniruhusu niende nijieleze
Nimtume ujumbe Mbayuwayu
Mbayuwayu, ngo, ngo, ngo
Mbayuwayu mimi nina kutuma
Ukifika usiwe kama huyu
Ubishe hodi, Mbayuwayu
Hodi, ngo, ngo, ngo, ngo, hey, yeah

Marlaw – Mbayuwayu Mp3 Download

Chek More Related Songs;

Leave a Comment